SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA JESHI LA KUJENGA TAIFA
(SUMAJKT)

SUMAJKT Mlale Food Processing

Hiki ni kiwanda cha Shirika kilichopo Mlale JKT Songea Mkoa wa Ruvuma. Kilianzishwa mwaka 2018 na kinajishughulisha na uchakataji wa nafaka za mahindi ili kuongeza thamani ya zao hilo kuleta manufaa ya kiuchumi kwa Shirika. Kiwanda hiki kinazalisha unga unaoitwa “Mlale Sembe” ambao unasambazwa sehemu mbalimbali nchini. Wazo la kuanzishwa kwa kiwanda cha Mlale lilitokana na hupatikanaji wa mahindi mkoa wa Ruvuma sambamba na mpango mkakati wa JKT kujitosheleza kwa chakula.

Kiwanda hiki kinazalisha unga bora wa mahindi kwa mahitaji ya Jeshi na jamii kwa ujumla.

Wizara ya Ulinzi

Jeshi la Wananchi la Tanzania

Jeshi la Kujenga Taifa

Shirika La Nyumbu

SUMAJKT© 2023

Imewezeshwa na Kutengenezwa na SUMAJKT

linkedin facebook pinterest youtube rss twitter instagram facebook-blank rss-blank linkedin-blank pinterest youtube twitter instagram