SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA JESHI LA KUJENGA TAIFA
(SUMAJKT)

SUMAJKT Meat Supply

Mradi huu unahusika na kununua, kunenepesha, kuchinja na kuuza nyama yenye ubora kwa bei nafuu katika baadhi ya vikosi vya JKT pamoja na maeneo mbalimbali yaliyopo katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam. Mradi huu ulianza kufanya kazi tarehe 01 Mei 2017 katika vikosi vya 832KJ Ruvu, 833KJ Mgambo pamoja na 841KJ Mafinga.

Mradi unaendelea kufanya vizuri ili kufikia malengo iliyojiwekea ikiwa ni pamoja na kutafuta masoko mengine mbali na kutegemea vikosi vya Jeshi. Matarajio ya baadae ni kuanzisha kiwanda cha nyama kwa lengo la kuiongezea thamani na kuuzwa ndani na nje ya nchi. Mradi unapanga kuchakata ngozi zitakazozalishwa na kuziongeza thamani na kuuza sehemu mbalimbali kwenye uhitaji.

Wizara ya Ulinzi

Jeshi la Wananchi la Tanzania

Jeshi la Kujenga Taifa

Shirika La Nyumbu

SUMAJKT© 2023

Imewezeshwa na Kutengenezwa na SUMAJKT

linkedin facebook pinterest youtube rss twitter instagram facebook-blank rss-blank linkedin-blank pinterest youtube twitter instagram