SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA JESHI LA KUJENGA TAIFA
(SUMAJKT)

Afisa Mtendaji Mkuu

Meja Jenerali Rajabu N Mabele

Mkurugenzi Mtendaji

Kanali Petro Ngata

Karibu SUMAJKT

SUMA JKT Ilianzishwa kwa mujibu wa sheria ya mashirika ya umma ya mwaka 1974 (RE 2002) baada ya amri ya Rais ya mwaka 1982. Nia ya kuanzishwa SUMA JKT ni kusaidia miradi ambayo ina uwezo mkubwa wa uzalishaji ili iweze kuzalisha zaidi na kwa faida na hivyo kuisaidia Serikali katika kupunguza matumizi ya kuendesha shughuli za JKT.

DIRA YA SHIRIKA

“Kuwa Shirika kubwa, lenye sifa kibiashara litakalokuwa na uwezo wa kuliwezesha Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) kuendesha shughuli zake”

DHIMA YA SHIRIKA

“Kuanzisha na kuendesha shughuli za uzalishaji mali na huduma kwa tija katika sekta za kilimo, ulinzi, uhandisi na ujenzi, viwanda na biashara na pia kutoa huduma kwa ufanisi, ubora na weledi.”

TUNU/MAADILI YA MSINGI

1. Ubunifu
2. Uadilifu
3. Uwajibikaji
4. Huduma bora kwa wateja
5. Ufanisi
6. Weledi
7. Matokeo chanya

Karibu SUMAJKT

SUMA JKT Ilianzishwa kwa mujibu wa sheria ya mashirika ya umma ya mwaka 1974 (RE 2002) baada ya amri ya Rais ya mwaka 1982. Nia ya kuanzishwa SUMA JKT ni kusaidia miradi ambayo ina uwezo mkubwa wa uzalishaji ili iweze kuzalisha zaidi na kwa faida na hivyo kuisaidia Serikali katika kupunguza matumizi ya kuendesha shughuli za JKT.

DIRA YA SHIRIKA

“Kuwa Shirika kubwa, lenye sifa kibiashara litakalokuwa na uwezo wa kuliwezesha Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) kuendesha shughuli zake”

DHIMA YA SHIRIKA

“Kuanzisha na kuendesha shughuli za uzalishaji mali na huduma kwa tija katika sekta za kilimo, ulinzi, uhandisi na ujenzi, viwanda na biashara na pia kutoa huduma kwa ufanisi, ubora na weledi.”

TUNU/MAADILI YA MSINGI

1. Ubunifu
2. Uadilifu
3. Uwajibikaji
4. Huduma bora kwa wateja
5. Ufanisi
6. Weledi
7. Matokeo chanya

HABARI

SUMAJKT NA LONGPIN KUSHIRIKIANA KATIKA KILIMO CHA KISASA

Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) na Kampuni ya LongPin Agri-Science Tanzania wamekubaliana kuharakisha kuanza ushirikiano katika kilimo cha kisayansi baada ya kukamilika kufanya tathimini ya uwekezaji. Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa SUMAJKT Kanali Shija Lupi, amesema kuwa makubaliano hayo kati ya SUMAJKT na LongPin yatapelekea kuanza kazi ya kilimo cha kisasa katika shamba la SUMAJKT Mngeta Plantation mkoani Morogoro.
Soma Zaidi

MATUKIO

July 25, 2023

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwenyi, akimkabidhi tuzo ya mshindi wa kwanza Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa SUMAJKT Kanali Shija Lupi, ambapo SUMAJKT walikuwa washindi katika Bidhaa za kilimo, mifugo na uvuvi kwenye maonesho ya sabasaba.

July 15, 2022

Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa bodi ya SUMAJKT, Meja Jenerali (mstaafu) Farah Mohammed (watatu kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa SUMAJKT Kanali Petro Ngata (watatu kulia)Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji SUMAJKT Kanali Shija Lupi (wapili kulia) Mkurugenzi Mwendeshaji SUMAJKT Guard Ltd, Kanali Joseph Masanja (wapili kulia) pamoja na Wakuu wa Miradi Makao Makuu ya SUMAJKT Mlalakuwa jijini Dar es Salaam.

MATANGAZO

March 5, 2023

JKT Marathon 2023

MIRADI YA SUMAJKT

BAADHI YA WATEJA WETU

Wizara ya Ulinzi

Jeshi la Wananchi la Tanzania

Jeshi la Kujenga Taifa

Shirika La Nyumbu

SUMAJKT© 2023

Imewezeshwa na Kutengenezwa na SUMAJKT

linkedin facebook pinterest youtube rss twitter instagram facebook-blank rss-blank linkedin-blank pinterest youtube twitter instagram