SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA JESHI LA KUJENGA TAIFA
(SUMAJKT)

SUMAJKT Chang'ombe Furniture Co. Ltd

Kiwanda hiki kilinunuliwa na JKT tangu mwaka 1972 kama kiwanda kidogo cha kuzalisha samani kutoka kwa mmiliki binafsi aitwaye Luige na kukabidhiwa SUMAJKT mwaka 1982 kwa ajili ya mafunzo ya vijana na uzalishaji kibiashara. Baada ya maboresho, kiwanda hiki kilisajiliwa mnamo tarehe 12 Machi 2020 kuwa kampuni kwa jina la “SUMAJKT Chang’ombe Furniture Co. Ltd”. Kiwanda kinachomilikiwa na Shirika kwa asilimia mia moja. Lengo ni kutengeneza samani bora kwa ajili ya taasisi za Serikali, mashirika ya umma, makampuni na watu binafsi.

Wizara ya Ulinzi

Jeshi la Wananchi la Tanzania

Jeshi la Kujenga Taifa

Shirika La Nyumbu

SUMAJKT© 2023

Imewezeshwa na Kutengenezwa na SUMAJKT

linkedin facebook pinterest youtube rss twitter instagram facebook-blank rss-blank linkedin-blank pinterest youtube twitter instagram