SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI LA JESHI LA KUJENGA TAIFA
(SUMAJKT)

Test Sample

Kampuni ya umeme SECL ilianza ikiwa ni kitengo cha umeme ndani ya NSCD mwaka 2004 na kusajiliwa katika daraja la nne la ukandarasi wa umeme. Mwaka 2020 kitengo hiki kilipanda hadhi na kusajiliwa katika daraja la kwanza na Contractors Registration Board (CRB) ili kutekeleza kazi zote za usambazaji umeme na mifumo ya umeme. Mwaka 2021, SECL ilisajiliwa na BRELA kuwa kampuni ya SUMAJKT Electric Co. Ltd.

Kwa ujumla, sekta ya ujenzi imekuwa mstari wa mbele katika kufanikisha miradi mbalimbali ya ujenzi hapa nchini ikiwemo miradi ya kimkakati.

Wizara ya Ulinzi

Jeshi la Wananchi la Tanzania

Jeshi la Kujenga Taifa

Shirika La Nyumbu

SUMAJKT© 2023

Imewezeshwa na Kutengenezwa na SUMAJKT

linkedin facebook pinterest youtube rss twitter instagram facebook-blank rss-blank linkedin-blank pinterest youtube twitter instagram