SUMAJKT Electric Company Limited
Kampuni ya umeme SECL ilianza ikiwa ni kitengo cha umeme ndani ya NSCD mwaka 2004 na kusajiliwa katika daraja la nne la ukandarasi wa umeme. Mwaka 2020 kitengo hiki kilipanda hadhi na kusajiliwa katika daraja la kwanza na Contractors Registration Board (CRB) ili kutekeleza kazi zote za usambazaji umeme na mifumo ya umeme. Mwaka 2021, SECL ilisajiliwa na BRELA kuwa kampuni ya SUMAJKT Electric Co. Ltd.
Kwa ujumla, sekta ya ujenzi imekuwa mstari wa mbele katika kufanikisha miradi mbalimbali ya ujenzi hapa nchini ikiwemo miradi ya kimkakati.